Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waefeso 5:1 - Swahili Revised Union Version

1 Hivyo mwigeni Mungu, kama watoto wanaopendwa;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Kwa hiyo, mwigeni Mungu, maana nyinyi ni watoto wake wapenzi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Kwa hiyo, mwigeni Mungu, maana nyinyi ni watoto wake wapenzi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Kwa hiyo, mwigeni Mungu, maana nyinyi ni watoto wake wapenzi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Kwa hiyo, mfuateni Mungu kama watoto wanaopendwa,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Kwa hiyo, mfuateni Mungu kama watoto wapendwao,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Hivyo mfuateni Mungu, kama watoto wanaopendwa;

Tazama sura Nakili




Waefeso 5:1
13 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Efraimu siye mwanangu mpendwa? Je! Siye mtoto apendezaye? Maana kila nisemapo neno juu yake, ningali nikimkumbuka sana; kwa sababu hiyo moyo wangu unataabika kwa ajili yake; bila shaka nitamrehemu, asema BWANA.


Tena itakuwa ya kwamba hesabu ya wana wa Israeli itafanana na mchanga wa bahari, usioweza kupimwa wala kuhesabiwa; tena itakuwa, badala ya kuambiwa, Ninyi si watu wangu, wataambiwa, Ninyi ndio wana wa Mungu aliye hai.


Kwa kuwa mimi ni BWANA niliyewaleta kutoka nchi ya Misri, ili kwamba niwe Mungu wenu; basi mtakuwa watakatifu, kwa kuwa mimi ni Mtakatifu.


ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.


Basi ninyi iweni wakamilifu, kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.


Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake;


tena iweni wafadhili ninyi kwa ninyi, wenye huruma, mkasameheane kama Mungu katika Kristo alivyowasamehe ninyi.


mpate kuwa wana wa Mungu wasio na lawama, wala udanganyifu, wasio na ila kati ya kizazi chenye ukaidi, kilichopotoka; ambao kati ya hao mnaonekana kuwa kama mianga katika ulimwengu,


Basi, kwa kuwa mmekuwa wateule wa Mungu, watakatifu wapendwao, jivikeni moyo wa rehema, utu wema, unyenyekevu, upole, uvumilivu,


Wapenzi ikiwa Mungu alitupenda sisi hivi, imetupasa na sisi kupendana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo