Waefeso 4:18 - Swahili Revised Union Version18 ambao; akili zao zimetiwa giza, nao wametengwa na uzima wa Mungu, kwa sababu ya ujinga uliomo ndani yao, kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 na akili zao zimo gizani. Wako mbali na uhai wa Mungu kwa sababu ya upumbavu ulio ndani yao na ukaidi wao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 na akili zao zimo gizani. Wako mbali na uhai wa Mungu kwa sababu ya upumbavu ulio ndani yao na ukaidi wao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 na akili zao zimo gizani. Wako mbali na uhai wa Mungu kwa sababu ya upumbavu ulio ndani yao na ukaidi wao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Watu hao akili zao zimetiwa giza na wametengwa mbali na uzima wa Mungu kwa sababu ya ujinga wao kutokana na ugumu wa mioyo yao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Watu hao akili zao zimetiwa giza na wametengwa mbali na uzima wa Mwenyezi Mungu kwa sababu ya ujinga wao kutokana na ugumu wa mioyo yao. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI18 ambao; akili zao zimetiwa giza, nao wametengwa na uzima wa Mungu, kwa sababu ya ujinga uliomo ndani yao, kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao; Tazama sura |