Waebrania 9:1 - Swahili Revised Union Version1 Basi hata agano la kwanza lilikuwa na kawaida za ibada, na patakatifu pake, pa kidunia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Agano la kwanza lilikuwa na taratibu zake za ibada na maskani takatifu ya duniani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Agano la kwanza lilikuwa na taratibu zake za ibada na maskani takatifu ya duniani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Agano la kwanza lilikuwa na taratibu zake za ibada na maskani takatifu ya duniani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Basi agano lile la kwanza lilikuwa na kanuni zake za kuabudu na pia patakatifu pake pa kidunia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Basi agano lile la kwanza lilikuwa na kanuni zake za kuabudu na pia patakatifu pake pa kidunia. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI1 Basi hata agano la kwanza lilikuwa na kawaida za ibada, na patakatifu pake, pa kidunia. Tazama sura |