Waebrania 7:12 - Swahili Revised Union Version12 Maana ukuhani ule ukibadilika, hapana budi sheria nayo ibadilike. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Maana ukuhani ukibadilika, ni lazima sheria nayo ibadilike. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Maana ukuhani ukibadilika, ni lazima sheria nayo ibadilike. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Maana ukuhani ukibadilika, ni lazima sheria nayo ibadilike. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Kwa kuwa ukuhani ukibadilika, lazima sheria nayo ibadilike. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Kwa kuwa yanapotokea mabadiliko ya ukuhani, pia lazima yawepo mabadiliko ya sheria. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Maana ukuhani ule ukibadilika, hapana budi sheria nayo ibadilike. Tazama sura |