Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waebrania 7:12 - Swahili Revised Union Version

12 Maana ukuhani ule ukibadilika, hapana budi sheria nayo ibadilike.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Maana ukuhani ukibadilika, ni lazima sheria nayo ibadilike.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Maana ukuhani ukibadilika, ni lazima sheria nayo ibadilike.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Maana ukuhani ukibadilika, ni lazima sheria nayo ibadilike.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Kwa kuwa ukuhani ukibadilika, lazima sheria nayo ibadilike.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Kwa kuwa yanapotokea mabadiliko ya ukuhani, pia lazima yawepo mabadiliko ya sheria.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Maana ukuhani ule ukibadilika, hapana budi sheria nayo ibadilike.

Tazama sura Nakili




Waebrania 7:12
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na baadhi ya hao nitawatwaa kuwa makuhani na Walawi, asema BWANA.


Hapo ndipo utakapozikumbuka njia zako, na kutahayarika, hapo utakapowakaribisha dada zako, walio wakubwa wako na wadogo wako; nami nitakupa hao wawe binti zako, lakini si kwa agano lako.


Basi, kama ukamilifu ulikuwapo kwa ukuhani wa Lawi; (maana watu wale waliipata sheria kwa huo); kulikuwa na haja gani tena ya kuhani mwingine awepo, kwa mfano wa Melkizedeki, wala asihesabiwe kwa mfano wa Haruni?


Maana yeye aliyenenwa hayo alikuwa mshirika wa kabila nyingine, ambayo hapana mtu wa kabila hilo aliyeihudumia madhabahu.


kwa kuwa ni sheria za jinsi ya mwili tu, vyakula na vinywaji na kunawa kwingine kwingine, zilizoamriwa hata wakati wa matengenezo mapya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo