Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waebrania 10:31 - Swahili Revised Union Version

31 Ni jambo la kutisha kuanguka katika mikono ya Mungu aliye hai.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Kuanguka mikononi mwa Mungu aliye hai ni jambo la kutisha mno!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Kuanguka mikononi mwa Mungu aliye hai ni jambo la kutisha mno!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Kuanguka mikononi mwa Mungu aliye hai ni jambo la kutisha mno!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Ni jambo la kutisha kuanguka mikononi mwa Mungu aliye hai.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Ni jambo la kutisha kuanguka mikononi mwa Mungu aliye hai.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

31 Ni jambo la kutisha kuanguka katika mikono ya Mungu aliye hai.

Tazama sura Nakili




Waebrania 10:31
14 Marejeleo ya Msalaba  

Yafahamuni hayo, Ninyi mnaomsahau Mungu, Nisije nikawararueni, Asipatikane wa kuwaokoa.


Wewe ndiwe utishaye, naam, Wewe; Naye ni nani awezaye kusimama ukasirikapo?


Ni nani aujuaye uweza wa hasira yako? Na ghadhabu yako inayolingana na kicho chako?


Katika siku hiyo Misri itakuwa kama wanawake; itatetemeka na kuogopa kwa sababu ya kutikiswa kwa mkono wa BWANA wa majeshi, autikisao juu yake.


Wenye dhambi walio katika Sayuni wanaogopa; tetemeko limewashika wasiomcha Mungu; Ni nani kwetu sisi awezaye kukaa na moto uangamizao; ni nani kwetu sisi awezaye kukaa na moto uteketezao milele?


Msiwaogope wauuao mwili, wasiweze kuiua na roho; afadhali mwogopeni yule awezaye kuangamiza mwili na roho pia katika Jehanamu.


Simoni Petro akajibu akasema, Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai.


Lakini nitawaonya mtakayemwogopa; mwogopeni yule ambaye akiisha kumwua mtu ana uweza wa kumtupa katika Jehanamu; naam, nawaambia, Mwogopeni huyo.


kutakuwa na mitetemeko mikubwa ya ardhi; na njaa na tauni mahali pengi; na mambo ya kutisha na ishara kuu kutoka mbinguni.


Basi, angalia, mkono wa Bwana uko juu yako, nawe utakuwa kipofu, usilione jua kwa muda. Mara kiwi kikamwangukia na giza, akazungukazunguka na kumtafuta mtu wa kumshika mkono na kumwongoza.


Basi tukiijua hofu ya Bwana, twawavuta wanadamu; lakini tumedhihirishwa mbele za Mungu. Nami natumaini ya kuwa tumedhihirishwa katika dhamiri zenu pia.


bali kuna kuitazamia hukumu yenye kutisha, na ukali wa moto ulio tayari kuwala wao wapingao.


maana Mungu wetu ni moto ulao.


Hadharini, ndugu zangu, usiwepo katika mmoja wenu moyo mbovu wa kutoamini, ujitengao na Mungu aliye hai.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo