Waebrania 10:27 - Swahili Revised Union Version27 bali kuna kuitazamia hukumu yenye kutisha, na ukali wa moto ulio tayari kuwala wao wapingao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema27 Linalobaki ni kungojea tu kwa hofu hukumu ya Mungu na moto mkali utakaowaangamiza wote wanaompinga. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND27 Linalobaki ni kungojea tu kwa hofu hukumu ya Mungu na moto mkali utakaowaangamiza wote wanaompinga. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza27 Linalobaki ni kungojea tu kwa hofu hukumu ya Mungu na moto mkali utakaowaangamiza wote wanaompinga. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu27 Lakini kinachobaki ni kungoja kwa hofu hukumu ya moto uwakao, utakaowaangamiza adui za Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu27 Lakini kinachobaki ni kungoja kwa hofu hukumu ya moto uwakao, utakaowaangamiza adui za Mwenyezi Mungu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI27 bali kuna kuitazamia hukumu yenye kutisha, na ukali wa moto ulio tayari kuwala wao wapingao. Tazama sura |