Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waamuzi 7:6 - Swahili Revised Union Version

6 Na hesabu ya hao waliokunywa kwa kuramba-ramba, wakipeleka mkono kinywani, ilikuwa watu mia tatu; bali watu wengine wote walipiga magoti kunywa maji.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Idadi ya waliokunywa maji kwa kuchota kwa mikono yao na kuramba kama mbwa ilikuwa 300. Lakini wengine wote waliobaki walipiga magoti kunywa maji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Idadi ya waliokunywa maji kwa kuchota kwa mikono yao na kuramba kama mbwa ilikuwa 300. Lakini wengine wote waliobaki walipiga magoti kunywa maji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Idadi ya waliokunywa maji kwa kuchota kwa mikono yao na kuramba kama mbwa ilikuwa 300. Lakini wengine wote waliobaki walipiga magoti kunywa maji.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Waliokunywa kwa kuramba maji kutoka mikononi mwao walikuwa watu mia tatu. Wengine wote walipiga magoti ili kunywa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Idadi ya wale waliokunywa kwa kuramba ramba walikuwa 300, lakini wengine wote katika jeshi walipiga magoti ili kunywa.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 7:6
4 Marejeleo ya Msalaba  

Atakunywa maji ya mto njiani; Kwa hiyo atakiinua kichwa chake kwa ushindi.


Njia zote za mtu ni safi machoni pake mwenyewe; Bali BWANA huzipima roho za watu.


Basi akawaleta watu chini majini. BWANA akamwambia Gideoni, Kila mtu atakayeyaramba maji kwa ulimi wake, kama vile arambavyo mbwa, huyo utamweka kando; kadhalika kila mtu apigaye magoti kunywa.


BWANA akamwambia Gideoni, Kwa watu hawa mia tatu walioyaramba maji nitawaokoa, nami nitawatia Wamidiani katika mikono yako; lakini watu hawa wote wengine na waende zao, kila mtu mahali pake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo