Waamuzi 6:1 - Swahili Revised Union Version1 Kisha wana wa Israeli walifanya yaliyo maovu mbele za macho ya BWANA; BWANA akawatia mikononi mwa Midiani muda wa miaka saba Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Waisraeli walitenda uovu mbele ya Mwenyezi-Mungu; naye akawatia mikononi mwa Wamidiani kwa muda wa miaka saba. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Waisraeli walitenda uovu mbele ya Mwenyezi-Mungu; naye akawatia mikononi mwa Wamidiani kwa muda wa miaka saba. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Waisraeli walitenda uovu mbele ya Mwenyezi-Mungu; naye akawatia mikononi mwa Wamidiani kwa muda wa miaka saba. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Waisraeli wakafanya tena yaliyo maovu mbele za Mwenyezi Mungu, naye Mwenyezi Mungu akawatia mikononi mwa Wamidiani kwa muda wa miaka saba. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Waisraeli wakafanya tena yaliyo maovu mbele za bwana, naye kwa miaka saba bwana akawatia mikononi mwa Wamidiani. Tazama sura |