Waamuzi 3:4 - Swahili Revised Union Version4 Naye aliwaacha ili awajaribu Israeli kwa hao, apate kujua kwamba watasikiliza amri za BWANA, alizowaamuru baba zao, kwa mkono wa Musa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Mwenyezi-Mungu alikusudia kuwatumia hao ili awajaribu Waisraeli, aone kama watatii amri zake alizowaamuru wazee wao kwa njia ya Mose. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Mwenyezi-Mungu alikusudia kuwatumia hao ili awajaribu Waisraeli, aone kama watatii amri zake alizowaamuru wazee wao kwa njia ya Mose. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Mwenyezi-Mungu alikusudia kuwatumia hao ili awajaribu Waisraeli, aone kama watatii amri zake alizowaamuru wazee wao kwa njia ya Mose. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Waliachwa ili kuwajaribu Waisraeli, kuona kama wangetii amri za Mwenyezi Mungu, alizokuwa amewapa baba zao kwa mkono wa Musa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Waliachwa ili kuwajaribu Waisraeli kuona kama wangetii amri za bwana, alizokuwa amewapa baba zao kwa mkono wa Musa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI4 Naye aliwaacha ili awajaribu Israeli kwa hao, apate kujua kwamba watasikiliza amri za BWANA, alizowaamuru baba zao, kwa mkono wa Musa. Tazama sura |