Waamuzi 3:11 - Swahili Revised Union Version11 Nayo nchi ikawa na amani muda wa miaka arubaini. Kisha Othnieli, mwana wa Kenazi, akafa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Hivyo nchi ikawa na amani kwa muda wa miaka arubaini. Kisha Othnieli mwana wa Kenazi, akafariki. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Hivyo nchi ikawa na amani kwa muda wa miaka arubaini. Kisha Othnieli mwana wa Kenazi, akafariki. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Hivyo nchi ikawa na amani kwa muda wa miaka arubaini. Kisha Othnieli mwana wa Kenazi, akafariki. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Hivyo nchi ikawa na amani kwa muda wa miaka arobaini, hadi Othnieli mwana wa Kenazi alipofariki. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Hivyo nchi ikawa na amani kwa muda wa miaka arobaini, mpaka Othnieli mwana wa Kenazi alipofariki. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 Nayo nchi ikawa na amani muda wa miaka arobaini. Kisha Othnieli, mwana wa Kenazi, akafa. Tazama sura |