Waamuzi 13:4 - Swahili Revised Union Version4 Basi sasa, jihadhari, nakuomba, usinywe divai wala kileo, wala usile kitu kilicho najisi; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Kwa hiyo uwe mwangalifu, usinywe divai au kileo wala usile kitu chochote kilicho najisi, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Kwa hiyo uwe mwangalifu, usinywe divai au kileo wala usile kitu chochote kilicho najisi, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Kwa hiyo uwe mwangalifu, usinywe divai au kileo wala usile kitu chochote kilicho najisi, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Lakini ujihadhari sana usinywe divai wala kileo kingine chochote, wala usile kitu chochote kilicho najisi, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Lakini ujihadhari sana usinywe mvinyo wala kileo kingine chochote, wala usile kitu chochote kilicho najisi, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI4 Basi sasa, jihadhari, nakuomba, usinywe divai wala kileo, wala usile kitu kilicho najisi; Tazama sura |