Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waamuzi 11:9 - Swahili Revised Union Version

9 Basi Yeftha akawaambia wazee wa Gileadi, “Kama mkinirejesha kwetu tena ili kupigana na wana wa Amoni, naye BWANA akawatoa mbele yangu, je! Nitakuwa kiongozi wenu?”

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Yeftha akawaambia hao wazee wa Gileadi, “Kama mkinirudisha nyumbani kupigana na Waamoni halafu Mwenyezi-Mungu akawatia mikononi mwangu, mimi nitakuwa kiongozi wenu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Yeftha akawaambia hao wazee wa Gileadi, “Kama mkinirudisha nyumbani kupigana na Waamoni halafu Mwenyezi-Mungu akawatia mikononi mwangu, mimi nitakuwa kiongozi wenu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Yeftha akawaambia hao wazee wa Gileadi, “Kama mkinirudisha nyumbani kupigana na Waamoni halafu Mwenyezi-Mungu akawatia mikononi mwangu, mimi nitakuwa kiongozi wenu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Yefta akawaambia viongozi wa Gileadi, “Ikiwa mtanirudisha kwetu kupigana na Waamoni, naye Mwenyezi Mungu akanisaidia kuwashinda, je, ni kweli nitakuwa kiongozi wenu?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Yefta akawaambia, “Ikiwa mtanirudisha kwetu kupigana na Waamoni, naye bwana akanisaidia kuwashinda, Je, ni kweli nitakuwa kiongozi wenu?”

Tazama sura Nakili




Waamuzi 11:9
3 Marejeleo ya Msalaba  

Wazee wa Gileadi wakamwambia Yeftha, Yeye BWANA atakuwa shahidi kati yetu; hakika yetu tutafanya sawasawa na neno lako.


Wazee wa Gileadi wakamwambia Yeftha, Kwa ajili ya hayo sasa tumegeuka kukuelekea wewe tena, ili uende pamoja nasi na kupigana na wana wa Amoni, nawe utakuwa kichwa chetu juu ya wenyeji wote wa Gileadi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo