Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ufunuo 8:4 - Swahili Revised Union Version

4 Na moshi wa ule uvumba ukapanda mbele za Mungu pamoja na maombi ya watakatifu, kutoka mkononi mwa malaika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Moshi wa ubani ukapanda juu, pamoja na sala za watu wa Mungu kutoka mikononi mwake huyo malaika aliyekuwa mbele ya Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Moshi wa ubani ukapanda juu, pamoja na sala za watu wa Mungu kutoka mikononi mwake huyo malaika aliyekuwa mbele ya Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Moshi wa ubani ukapanda juu, pamoja na sala za watu wa Mungu kutoka mikononi mwake huyo malaika aliyekuwa mbele ya Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Ule moshi wa uvumba pamoja na yale maombi ya watakatifu, vikapanda juu mbele za Mungu, kutoka mkononi mwa huyo malaika.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Ule moshi wa uvumba pamoja na yale maombi ya watakatifu, vikapanda juu mbele za Mungu, kutoka mkononi mwa huyo malaika.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Na moshi wa ule uvumba ukapanda mbele za Mungu pamoja na maombi ya watakatifu, kutoka mkononi mwa malaika.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 8:4
7 Marejeleo ya Msalaba  

Sala yangu ipae mbele zako kama uvumba, Kuinuliwa mikono yangu kama dhabihu ya jioni.


Nawe fanya madhabahu ya kufukizia uvumba; utaifanyiza kwa mti wa mshita.


na kijiko kimoja cha dhahabu, uzani wake shekeli kumi, kilichojaa uvumba;


Na makutano yote ya watu walikuwa wakisali nje saa ya kufukiza uvumba.


Akamkodolea macho, akaogopa akasema, Kuna nini, Bwana? Akamwambia, Sala zako na sadaka zako zimefika juu na kuwa ukumbusho mbele za Mungu.


Hekalu likajazwa moshi uliotoka kwenye utukufu wa Mungu na uweza wake. Wala hapakuwa na mtu aliyeweza kuingia ndani ya hekalu, mpaka yatimizwe mapigo saba ya wale malaika saba.


Na malaika mwingine akaja akasimama mbele ya madhabahu, akiwa na chetezo cha dhahabu, akapewa uvumba mwingi, ili autie pamoja na maombi ya watakatifu wote juu ya madhabahu ya dhahabu, iliyo mbele ya kiti cha enzi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo