Ufunuo 8:1 - Swahili Revised Union Version1 Na Mwana-kondoo alipofungua mhuri wa saba, kukawa kimya mbinguni kwa muda wa kama nusu saa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Na Mwanakondoo alipouvunja mhuri wa saba, kukawa kimya mbinguni kwa muda wa nusu saa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Na Mwanakondoo alipouvunja mhuri wa saba, kukawa kimya mbinguni kwa muda wa nusu saa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Na Mwanakondoo alipouvunja mhuri wa saba, kukawa kimya mbinguni kwa muda wa nusu saa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Mwana-Kondoo alipouvunja ule muhuri wa saba, pakawa kimya mbinguni kwa muda wa nusu saa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Mwana-Kondoo alipoivunja ile lakiri ya saba, pakawa kimya mbinguni kwa muda wa nusu saa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI1 Na Mwana-kondoo alipofungua mhuri wa saba, kukawa kimya mbinguni kwa muda wa kama nusu saa. Tazama sura |