Ufunuo 22:7 - Swahili Revised Union Version7 Na tazama, naja upesi; heri yeye ayashikaye maneno ya unabii wa kitabu hiki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 “Sikiliza! Naja upesi. Heri yake anayeyazingatia maneno ya unabii yaliyo katika kitabu hiki.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 “Sikiliza! Naja upesi. Heri yake anayeyazingatia maneno ya unabii yaliyo katika kitabu hiki.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 “Sikiliza! Naja upesi. Heri yake anayeyazingatia maneno ya unabii yaliyo katika kitabu hiki.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 “Tazama, naja upesi! Amebarikiwa yeye ayashikaye maneno ya unabii wa kitabu hiki.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 “Tazama, naja upesi! Amebarikiwa yeye ayashikaye maneno ya unabii wa kitabu hiki.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI7 Na tazama, naja upesi; heri yeye ayashikaye maneno ya unabii wa kitabu hiki. Tazama sura |