Ufunuo 21:22 - Swahili Revised Union Version22 Nami sikuona hekalu ndani yake; kwa maana Bwana Mungu Mwenyezi na Mwana-kondoo, ndio hekalu lake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema22 Sikuona hekalu katika mji huo, maana Bwana Mungu Mwenye Nguvu na yule Mwanakondoo ndio hekalu lake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND22 Sikuona hekalu katika mji huo, maana Bwana Mungu Mwenye Nguvu na yule Mwanakondoo ndio hekalu lake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza22 Sikuona hekalu katika mji huo, maana Bwana Mungu Mwenye Nguvu na yule Mwanakondoo ndio hekalu lake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu22 Sikuona Hekalu ndani ya huo mji kwa sababu Bwana Mungu Mwenyezi na Mwana-Kondoo ndio Hekalu lake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu22 Sikuona Hekalu ndani ya huo mji kwa sababu bwana Mwenyezi Mungu na Mwana-Kondoo ndio hekalu lake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI22 Nami sikuona hekalu ndani yake; kwa maana Bwana Mungu Mwenyezi na Mwana-kondoo, ndio hekalu lake. Tazama sura |