Ufunuo 20:7 - Swahili Revised Union Version7 Na hiyo miaka elfu itakapokwisha, Shetani atafunguliwa, atoke kifungoni mwake; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Wakati miaka 1,000 itakapotimia, Shetani atafunguliwa kutoka gerezani mwake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Wakati miaka 1,000 itakapotimia, Shetani atafunguliwa kutoka gerezani mwake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Wakati miaka 1,000 itakapotimia, Shetani atafunguliwa kutoka gerezani mwake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Hiyo miaka elfu itakapotimia, Shetani atafunguliwa atoke kifungoni mwake, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Hiyo miaka 1,000 itakapotimia, Shetani atafunguliwa kutoka kifungoni mwake, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI7 Na hiyo miaka elfu itakapokwisha, Shetani atafunguliwa, atoke kifungoni mwake; Tazama sura |