Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ufunuo 20:5 - Swahili Revised Union Version

5 Hao wafu waliobakia hawakuwa hai, hata itimie ile miaka elfu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 (Wale wengine waliokufa hawakupata uhai mpaka miaka 1,000 itimie). Huu ndio ufufuo wa kwanza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 (Wale wengine waliokufa hawakupata uhai mpaka miaka 1,000 itimie). Huu ndio ufufuo wa kwanza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 (Wale wengine waliokufa hawakupata uhai mpaka miaka 1,000 itimie). Huu ndio ufufuo wa kwanza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 (Wafu waliosalia hawakufufuka hadi ilipotimia hiyo miaka elfu.) Huu ndio ufufuo wa kwanza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 (Wafu waliosalia hawakufufuka mpaka ilipotimia hiyo miaka 1,000.) Huu ndio ufufuo wa kwanza.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Hao wafu waliobakia hawakuwa hai, hata itimie ile miaka elfu.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 20:5
9 Marejeleo ya Msalaba  

nawe utakuwa heri, kwa kuwa hao hawana cha kukulipa; kwa maana utalipwa katika ufufuo wa wenye haki.


Maana ikiwa kutupwa kwao kumeleta upatanisho kwa ulimwengu, je! Kukubaliwa kwao kutakuwa nini kama si uhai baada ya kufa?


ili nipate kwa njia yoyote kuufikia ufufuo wa wafu.


Kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na mwaliko, na sauti ya malaika mkuu, na parapanda ya Mungu; nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza.


Na baada ya siku hizo tatu u nusu, roho ya uhai itokayo kwa Mungu ikawaingia, wakasimama kwa miguu yao; na hofu kuu ikawaangukia watu waliowatazama.


Malaika wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata milele na milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo