Ufunuo 20:5 - Swahili Revised Union Version5 Hao wafu waliobakia hawakuwa hai, hata itimie ile miaka elfu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 (Wale wengine waliokufa hawakupata uhai mpaka miaka 1,000 itimie). Huu ndio ufufuo wa kwanza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 (Wale wengine waliokufa hawakupata uhai mpaka miaka 1,000 itimie). Huu ndio ufufuo wa kwanza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 (Wale wengine waliokufa hawakupata uhai mpaka miaka 1,000 itimie). Huu ndio ufufuo wa kwanza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 (Wafu waliosalia hawakufufuka hadi ilipotimia hiyo miaka elfu.) Huu ndio ufufuo wa kwanza. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 (Wafu waliosalia hawakufufuka mpaka ilipotimia hiyo miaka 1,000.) Huu ndio ufufuo wa kwanza. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI5 Hao wafu waliobakia hawakuwa hai, hata itimie ile miaka elfu. Tazama sura |