Ufunuo 2:6 - Swahili Revised Union Version6 Lakini una jambo hili, kwamba wayachukia matendo ya Wanikolai, ambayo mimi pia nayachukia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Lakini nakusifu juu ya kitu kimoja: Wewe unayachukia wanayoyatenda Wanikolai kama ninavyoyachukia mimi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Lakini nakusifu juu ya kitu kimoja: Wewe unayachukia wanayoyatenda Wanikolai kama ninavyoyachukia mimi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Lakini nakusifu juu ya kitu kimoja: wewe unayachukia wanayoyatenda Wanikolai kama ninavyoyachukia mimi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Lakini una jambo hili kwa upande wako: Unayachukia matendo ya Wanikolai, ambayo nami pia nayachukia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Lakini una jambo hili kwa upande wako: Unayachukia matendo ya Wanikolai, ambayo nami pia nayachukia. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 Lakini una jambo hili, kwamba wayachukia matendo ya Wanikolai, ambayo mimi pia nayachukia. Tazama sura |