Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ufunuo 2:25 - Swahili Revised Union Version

25 Ila mlicho nacho kishikeni sana, hata nitakapokuja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Lazima mzingatie yale mliyo nayo sasa mpaka nitakapokuja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Lazima mzingatie yale mliyo nayo sasa mpaka nitakapokuja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Lazima mzingatie yale mliyo nayo sasa mpaka nitakapokuja.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Lakini shikeni sana mlicho nacho, hadi nitakapokuja.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Lakini shikeni sana mlicho nacho, mpaka nitakapokuja.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Ila mlicho nacho kishikeni sana, hata nitakapokuja.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 2:25
16 Marejeleo ya Msalaba  

Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi muwepo.


Na tulipokusanyika akasimama mmoja wao, jina lake Agabo, akaonesha kwa uweza wa Roho Mtakatifu kwamba njaa kubwa itakuja karibu katika dunia nzima, nayo ikatukia katika siku za Klaudio.


Pendo na lisiwe na unafiki lichukieni lililo ovu, mkilishika lililo jema.


Maana kila mwulapo mkate huu na kukinywea kikombe hiki, mwaitangaza mauti ya Bwana hata ajapo.


Basi ninyi msihukumu neno kabla ya wakati wake, hata ajapo Bwana; ambaye atayamulika yaliyositirika katika giza, na kuyadhihirisha mashauri ya mioyo; ndipo kila mtu atakapoipata sifa yake kwa Mungu.


jaribuni mambo yote; lishikeni lililo jema;


Na mlishike sana ungamo la tumaini letu, lisigeuke; maana yeye aliyeahidi ni mwaminifu;


bali Kristo, kama mwana, juu ya nyumba ya Mungu; ambaye nyumba yake ni sisi, kama tukishikamana sana na ujasiri wetu na fahari ya tumaini letu mpaka mwisho.


Basi, iwapo tunaye kuhani mkuu aliyeingia katika mbingu, Yesu, Mwana wa Mungu, na tuyashike sana maungamo yetu.


Lakini siku ya Bwana itakuja kama mwizi; katika siku hiyo mbingu zitatoweka kwa mshindo mkuu, na viumbe vya asili vitaunguzwa, na kufumuliwa, na nchi na kazi zilizomo ndani yake zitateketea.


Tazama, yuaja na mawingu; na kila jicho litamwona, na hao waliomchoma; na makabila yote ya dunia yataomboleza kwa ajili yake. Naam. Amina.


Yeye ayashuhudiaye haya asema, Naam; naja upesi. Amina; na uje, Bwana Yesu.


Na tazama, naja upesi; heri yeye ayashikaye maneno ya unabii wa kitabu hiki.


Naja upesi. Shika sana ulicho nacho, asije mtu akaitwaa taji yako.


Basi kumbuka jinsi ulivyopokea, na jinsi ulivyosikia; yashike hayo na kutubu. Lakini usipokesha, nitakuja kama mwizi, wala hutaijua saa nitakayokuja kwako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo