Ufunuo 2:16 - Swahili Revised Union Version16 Basi tubu; na usipotubu, naja kwako upesi, nami nitafanya vita juu yao kwa huo upanga wa kinywa changu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Basi, tubu. La sivyo, nitakuja kwako upesi na kupigana na watu hao kwa upanga utokao kinywani mwangu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Basi, tubu. La sivyo, nitakuja kwako upesi na kupigana na watu hao kwa upanga utokao kinywani mwangu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Basi, tubu. La sivyo, nitakuja kwako upesi na kupigana na watu hao kwa upanga utokao kinywani mwangu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Basi tubu! Ama sivyo, nitakuja kwako upesi na kupigana na watu hao kwa upanga wa kinywa changu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Basi tubu! Ama sivyo, nitakuja kwako upesi na kupigana na watu hao kwa upanga wa kinywa changu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI16 Basi tubu; na usipotubu, naja kwako upesi, nami nitafanya vita juu yao kwa huo upanga wa kinywa changu. Tazama sura |