Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ufunuo 17:13 - Swahili Revised Union Version

13 Hawa wana shauri moja, nao wampa yule mnyama nguvu zao na mamlaka yao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Shabaha ya hawa kumi ni moja, na watampa yule mnyama nguvu na mamlaka yao yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Shabaha ya hawa kumi ni moja, na watampa yule mnyama nguvu na mamlaka yao yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Shabaha ya hawa kumi ni moja, na watampa yule mnyama nguvu na mamlaka yao yote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Hawa wana nia moja, nao watamwachia yule mnyama nguvu zao na mamlaka yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Hawa wana nia moja, nao watamwachia yule mnyama nguvu zao na mamlaka yao.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 17:13
7 Marejeleo ya Msalaba  

Bwana MUNGU asema hivi; Itakuwa katika siku hiyo, mawazo yataingia moyoni mwako, nawe utakusudia kusudi baya;


ili wafanye yote ambayo mkono wako na mashauri yako yamekusudia tangu zamani yatokee.


Lakini mwenendo wenu na uwe kama inavyoipasa Injili ya Kristo, ili, nikija na kuwaona ninyi, au nisipokuwapo, niyasikie mambo yenu, kama mnasimama imara katika roho moja, kwa moyo mmoja mkiishindania imani ya Injili;


ijalizeni furaha yangu, ili muwe na nia moja, wenye mapenzi mamoja, wenye roho moja, mkiwaza mamoja.


Hawa watafanya vita na Mwana-kondoo, na Mwana-kondoo atawashinda, kwa maana Yeye ni Bwana wa Mabwana, na Mfalme wa Wafalme, na hao walio pamoja naye ndio walioitwa, na wateule, na waaminifu.


Maana Mungu ametia mioyoni mwao kufanya shauri lake, na kufanya shauri moja, na kumpa yule mnyama ufalme wao hata maneno ya Mungu yatimizwe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo