Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ufunuo 12:8 - Swahili Revised Union Version

8 lakini hawakushinda, wala mahali pao hapakuonekana tena mbinguni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Lakini joka hilo na malaika wake walishindwa, na hatimaye hapakuwa tena na nafasi mbinguni kwa ajili yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Lakini joka hilo na malaika wake walishindwa, na hatimaye hapakuwa tena na nafasi mbinguni kwa ajili yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Lakini joka hilo na malaika wake walishindwa, na hatimaye hapakuwa tena na nafasi mbinguni kwa ajili yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Lakini joka na malaika wake wakashindwa, na hapakuwa tena na nafasi yao huko mbinguni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Lakini joka na malaika zake wakashindwa, na hapakuwa tena na nafasi yao huko mbinguni.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 lakini hawakushinda, wala mahali pao hapakuonekana tena mbinguni.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 12:8
18 Marejeleo ya Msalaba  

Jicho lililomwona halitamwona tena; Wala mahali pake hapatamtazama tena.


Hatarudi tena nyumbani kwake, Wala mahali pake hapatamjua tena.


Lakini, aking'olewa mahali pake, Ndipo patamkana, na kusema, Mimi sikukuona.


Mara nyingi wamenitesa tangu ujana wangu, Lakini hawakuniweza.


Adui yangu asije akasema, Nimemshinda; Watesi wangu wasifurahi ninapoondoshwa.


Maana bado kitambo kidogo asiye haki hatakuwapo, Utapaangalia mahali pake wala hatakuwapo.


Nao watapigana nawe; lakini hawatakushinda; maana mimi nipo pamoja nawe, asema BWANA, ili nikuokoe.


Je! Hamniogopi mimi? Asema BWANA; hamtatetemeka mbele za uso wangu; mimi niliyeweka mchanga kuwa mpaka wa bahari, kwa amri ya daima, isiweze kuupita? Mawimbi yake yajapoumuka-umuka, hayawezi kushinda nguvu; yajapovuma sana, hayawezi kuupita.


Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.


ashike mahali katika huduma hii na utume huu, alioukosa Yuda, aende zake mahali pake mwenyewe.


Na malaika wasioilinda enzi yao wenyewe, lakini wakayaacha makao yao yaliyowahusu, amewaweka katika vifungo vya milele chini ya giza kwa hukumu ya siku ile kuu.


Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao; ambao hawakupenda maisha yao hata kufa.


Kulikuwa na vita mbinguni; Mikaeli na malaika wake wakapigana na lile joka, lile joka nalo likapigana nao pamoja na malaika wake;


Lile joka kuu likatupwa, yule nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika wake wakatupwa pamoja naye.


Kisha nikaona kiti cha enzi, kikubwa, cheupe, na yeye aketiye juu yake; ambaye nchi na mbingu zikakimbia uso wake, na mahali pao hapakuonekana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo