Ufunuo 10:11 - Swahili Revised Union Version11 Wakaniambia, Imekupasa kutoa unabii tena juu ya watu na taifa na lugha na wafalme wengi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Kisha, nikaambiwa, “Inakubidi tena kutoa unabii kuhusu watu wengi, mataifa, watu wa lugha nyingi na wafalme!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Kisha, nikaambiwa, “Inakubidi tena kutoa unabii kuhusu watu wengi, mataifa, watu wa lugha nyingi na wafalme!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Kisha, nikaambiwa, “Inakubidi tena kutoa unabii kuhusu watu wengi, mataifa, watu wa lugha nyingi na wafalme!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Kisha nikaambiwa, “Imekupasa kutoa unabii tena kuhusu makabila mengi, mataifa, lugha na wafalme.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Kisha nikaambiwa, “Imekupasa kutoa unabii tena kuhusu makabila mengi, mataifa, lugha na wafalme.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 Wakaniambia, Imekupasa kutoa unabii tena juu ya watu na taifa na lugha na wafalme wengi. Tazama sura |