Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Sefania 1:2 - Swahili Revised Union Version

2 Nitavikomesha kabisa vitu vyote, visionekane juu ya uso wa nchi, asema BWANA.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Mwenyezi-Mungu asema: “Nitavifagilia mbali viumbe vyote duniani:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Mwenyezi-Mungu asema: “Nitavifagilia mbali viumbe vyote duniani:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Mwenyezi-Mungu asema: “Nitavifagilia mbali viumbe vyote duniani:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Mwenyezi Mungu asema, “Nitafagia kila kitu kutoka uso wa dunia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 bwana asema, “Nitafagia kila kitu kutoka kwenye uso wa dunia.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Nitavikomesha kabisa vitu vyote, visionekane juu ya uso wa nchi, asema BWANA.

Tazama sura Nakili




Sefania 1:2
13 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akasema, Nitamfutilia mbali mwanadamu niliyemwumba usoni pa nchi; mwanadamu na mnyama, na kitambaacho na ndege wa angani; kwa maana naghairi ya kwamba nimewaumba.


Maana wakaja jeshi la Washami watu wachache; BWANA akatia mikononi mwao jeshi kubwa mno, kwa sababu wamemwacha BWANA, Mungu wa baba zao. Hivyo wakamfanyia Yoashi hukumu.


ili kulitimiza neno la BWANA kwa kinywa cha Yeremia, hata nchi itakapofurahia sabato zake; kwa maana siku zote ilipokaa ukiwa ilishika sabato, kutimiza miaka sabini.


Ndipo nilipouliza, Ee Bwana, hata lini? Naye akanijibu, Hadi miji itakapokuwa ukiwa, haina wenyeji, na nyumba zitakapokuwa hazina watu, na nchi hii itakapokuwa ganjo kabisa;


Tazama, nitawapa amri yangu, asema BWANA, na kuwarejesha kwenye mji huu; nao watapigana nao, na kuutwaa, na kuuteketeza kwa moto; nami nitaifanya miji ya Yuda kuwa ukiwa, isikaliwe na mtu.


Na kuhusu Yehoyakimu, mfalme wa Yuda, utasema, BWANA asema hivi, Umeliteketeza gombo hili, ukisema, Mbona umeandika ndani yake, ukisema, Bila shaka mfalme wa Babeli atakuja, na kuiharibu nchi hii, na kukomesha mwanadamu na mnyama pia ndani yake?


Kwa hiyo, Bwana MUNGU asema hivi, Tazama, hasira yangu na ghadhabu yangu zitamwagwa juu ya mahali hapa, juu ya wanadamu, na juu ya wanyama, na juu ya miti ya mashamba, na juu ya mazao ya nchi; nayo itateketea, isizimike.


BWANA ameyatenda aliyoyakusudia; amelitimiza neno lake, Aliloliamuru siku za kale; Ameangusha hata chini, Wala hakuona huruma; Naye amemfurahisha adui juu yako, Ameitukuza pembe ya watesi wako.


Hata hivyo nchi itakuwa ukiwa kwa sababu ya hao wakaao ndani yake, kwa sababu ya matunda ya matendo yao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo