Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ruthu 4:22 - Swahili Revised Union Version

22 na Obedi akamzaa Yese; na Yese akamzaa Daudi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Obedi akamzaa Yese na Yese akamzaa Daudi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Obedi akamzaa Yese na Yese akamzaa Daudi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Obedi akamzaa Yese na Yese akamzaa Daudi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Obedi akamzaa Yese, na Yese akamzaa Daudi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Obedi akamzaa Yese, na Yese akamzaa Daudi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

22 na Obedi akamzaa Yese; na Yese akamzaa Daudi.

Tazama sura Nakili




Ruthu 4:22
10 Marejeleo ya Msalaba  

na Boazi akamzaa Obedi; na Obedi akamzaa Yese;


na wa sita Ozemu, na wa saba Daudi;


Basi litatoka chipukizi katika shina la Yese, na tawi litakalotoka katika mizizi yake litazaa matunda.


Yese akamzaa mfalme Daudi. Daudi akamzaa Sulemani kwa yule mke wa Uria;


wa Melea, wa Mena, wa Matatha, wa Nathani, wa Daudi,


Nao wale wanawake waliokuwa jirani zake wakampa jina, wakisema, Naomi amezaliwa mwana; wakamwita jina lake Obedi; yeye ndiye baba yake Yese, aliye baba yake Daudi.


na Salmoni akamzaa Boazi; na Boazi akamzaa Obedi;


Palikuwa na mtu mmoja wa Rama, Msufi, wa nchi ya milima milima ya Efraimu, jina lake akiitwa Elkana, mwana wa Yerohamu, mwana wa Elihu, mwana wa Tohu, mwana wa Sufu, Mwefraimu


BWANA akamwambia Samweli, utamlilia Sauli hadi lini, kwa kuwa mimi nimemkataa asiwatawale Waisraeli? Ijaze pembe yako mafuta, uende, nami nitakutuma kwa Yese, Mbethlehemi; maana nimejipatia mfalme katika wanawe.


Basi Daudi alikuwa mwana wa yule Mwefrata, wa Bethlehemu ya Yuda, aliyeitwa jina lake Yese; naye huyo alikuwa na wana wanane; na yeye mwenyewe alikuwa mzee siku za Sauli, na mkongwe miongoni mwa watu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo