Ruthu 4:13 - Swahili Revised Union Version13 Basi Boazi akamtwaa Ruthu, naye akawa mke wake; naye akaingia kwake, na BWANA akamjalia kuchukua mimba, naye akazaa mtoto wa kiume. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Kwa hiyo, Boazi akamchukua Ruthu akawa mke wake. Mwenyezi-Mungu alimjalia Ruthu naye akachukua mimba, akajifungua mtoto wa kiume. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Kwa hiyo, Boazi akamchukua Ruthu akawa mke wake. Mwenyezi-Mungu alimjalia Ruthu naye akachukua mimba, akajifungua mtoto wa kiume. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Kwa hiyo, Boazi akamchukua Ruthu akawa mke wake. Mwenyezi-Mungu alimjalia Ruthu naye akachukua mimba, akajifungua mtoto wa kiume. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Basi Boazi akamtwaa Ruthu, naye akawa mke wake. Alipoingia kwake, Mwenyezi Mungu akamjalia Ruthu, naye akapata mimba, akamzaa mtoto wa kiume. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Basi Boazi akamwoa Ruthu, naye akawa mke wake. Alipoingia kwake, bwana akamjalia Ruthu, naye akapata mimba, akamzaa mtoto wa kiume. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI13 Basi Boazi akamtwaa Ruthu, naye akawa mke wake; naye akaingia kwake, na BWANA akamjalia kuchukua mimba, naye akazaa mtoto wa kiume. Tazama sura |