Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ruthu 1:19 - Swahili Revised Union Version

19 Hivyo hao wakaendelea wote wawili hadi walipofika Bethlehemu. Na ikawa walipofika Bethlehemu, mji wote uliwaajabia. Nao wanawake wakasema, Je! Huyu ni Naomi?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Ndipo wote wawili wakaendelea na safari hadi Bethlehemu. Walipofika huko, watu wote walishangaa, hata wanawake wakaulizana, “Je, huyu ni Naomi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Ndipo wote wawili wakaendelea na safari hadi Bethlehemu. Walipofika huko, watu wote walishangaa, hata wanawake wakaulizana, “Je, huyu ni Naomi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Ndipo wote wawili wakaendelea na safari hadi Bethlehemu. Walipofika huko, watu wote walishangaa, hata wanawake wakaulizana, “Je, huyu ni Naomi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Kwa hiyo hao wanawake wawili wakaondoka, wakafika Bethlehemu. Walipofika Bethlehemu, mji mzima ulitaharuki, wanawake wakashangaa, wakasema, “Huyu aweza kuwa ni Naomi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Kwa hiyo hao wanawake wawili wakaondoka, wakafika Bethlehemu. Walipofika Bethlehemu, mji mzima ulitaharuki, wanawake wakashangaa, wakasema, “Huyu aweza kuwa ni Naomi?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Hivyo hao wakaendelea wote wawili hadi walipofika Bethlehemu. Na ikawa walipofika Bethlehemu, mji wote uliwastaajabia. Nao wanawake wakasema, Je! Huyu ni Naomi?

Tazama sura Nakili




Ruthu 1:19
6 Marejeleo ya Msalaba  

Salma, babaye Bethlehemu; na Harefu, babaye Beth-gaderi.


Je! Huu ndio mji wenu wa furaha, ambao mwanzo wake ulikuwako tangu siku za kale, ambao miguu yake ilimchukua akae mbali sana?


Hao watu wote wapitao Hukupigia makofi; Humzomea binti Yerusalemu, Na kutikisa vichwa vyao; Je! Mji huu ndio ulioitwa, Ukamilifu wa uzuri, Furaha ya dunia yote?


Hata alipoingia Yerusalemu, mji wote ukataharuki, watu wakisema, Ni nani huyu?


Akawaambia, Msiniite Naomi, niiteni Mara kwa sababu Mwenyezi Mungu amenitenda mambo machungu sana.


Yule msimamizi aliyewasimamia wavunaji akajibu, akasema, Ni yule msichana Mmoabi aliyerudi pamoja na Naomi, kutoka nchi ya Moabu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo