Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Nehemia 9:18 - Swahili Revised Union Version

18 Naam, hata walipojifanyia ndama ya kusubu, na kusema, Huyu ndiye Mungu wako aliyekupandisha kutoka Misri, tena walipokuwa wamefanya machukizo makuu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Hata walipojitengenezea sanamu ya ndama na kusema, ‘Huyu ndiye mungu wetu aliyetutoa kutoka nchi ya Misri,’ wakawa wamefanya kufuru kubwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Hata walipojitengenezea sanamu ya ndama na kusema, ‘Huyu ndiye mungu wetu aliyetutoa kutoka nchi ya Misri,’ wakawa wamefanya kufuru kubwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Hata walipojitengenezea sanamu ya ndama na kusema, ‘Huyu ndiye mungu wetu aliyetutoa kutoka nchi ya Misri,’ wakawa wamefanya kufuru kubwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 hata wakati walijitengenezea sanamu ya ndama ya kusubu na kusema, ‘Huyu ni mungu wenu, aliyewapandisha kutoka nchi ya Misri,’ au walipokufuru sana.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 hata wakati walijitengenezea sanamu ya ndama ya kusubu na kusema, ‘Huyu ni mungu wenu, aliyewapandisha kutoka nchi ya Misri,’ au walipofanya makufuru makubwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Naam, hata walipojifanyia ndama ya kusubu, na kusema, Huyu ndiye Mungu wako aliyekupandisha kutoka Misri, tena walipokuwa wamefanya machukizo makuu;

Tazama sura Nakili




Nehemia 9:18
7 Marejeleo ya Msalaba  

Walakini hawakukutii, wakakuasi, wakaitupa sheria yako nyuma yao, wakawaua manabii wako waliowaonya ili wapate kukurudia wewe; wakakufuru sana.


Je! Mliniletea dhabihu na sadaka jangwani muda wa miaka arubaini, enyi nyumba ya Israeli?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo