Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Nehemia 3:10 - Swahili Revised Union Version

10 Na baada yao akajenga Yedaya, mwana wa Harumafu, kuielekea nyumba yake. Na baada yake akajenga Hatushi, mwana wa Hashabneya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Sehemu inayofuata, inayokabiliana na nyumba yake ilijengwa upya na Yedaya, mwana wa Harumafu. Sehemu inayofuata ilijengwa upya na Hatushi, mwana wa Hashabneya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Sehemu inayofuata, inayokabiliana na nyumba yake ilijengwa upya na Yedaya, mwana wa Harumafu. Sehemu inayofuata ilijengwa upya na Hatushi, mwana wa Hashabneya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Sehemu inayofuata, inayokabiliana na nyumba yake ilijengwa upya na Yedaya, mwana wa Harumafu. Sehemu inayofuata ilijengwa upya na Hatushi, mwana wa Hashabneya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Kupakana na sehemu hii, Yedaya mwana wa Harumafu alikarabati sehemu iliyokuwa mkabala na nyumba yake, naye Hatushi mwana wa Hashabnea akakarabati sehemu iliyofuatia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Kupakana na sehemu hii, Yedaya mwana wa Harumafu alikarabati sehemu iliyokuwa mkabala na nyumba yake, naye Hatushi mwana wa Hashabnea akakarabati sehemu iliyofuatia.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Na baada yao akajenga Yedaya, mwana wa Harumafu, kuielekea nyumba yake. Na baada yake akajenga Hatushi, mwana wa Hashabneya.

Tazama sura Nakili




Nehemia 3:10
7 Marejeleo ya Msalaba  

Hamshi, Shekania, Maluki;


Harimu, Meremothi, Obadia;


Malkiya, mwana wa Harimu, na Hashubu, mwana wa Pahath-moabu, wakajenga sehemu nyingine, na mnara wa tanuri.


Baada yao wakajenga Benyamini na Hashubu, kuielekea nyumba yao. Baada yao akajenga Azaria, mwana wa Maaseya, mwana wa Anania, kando ya nyumba yake.


Na baada yao Refaya, mwana wa Huri akajenga, mtawala wa nusu ya Yerusalemu.


Ndipo Walawi, Yeshua na Kadmieli, na Bani, na Hashabneya, na Sherebia, na Hodia, na Shebania, na Pethahia, wakasema, Simameni, mkamhimidi BWANA, Mungu wenu, tangu milele na hata milele. Na lihimidiwe jina lako tukufu, lililotukuka kuliko baraka zote na sifa zote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo