Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Nehemia 2:2 - Swahili Revised Union Version

2 Basi mfalme akaniambia, Mbona umesikitika uso wako, nawe huna ugonjwa? Nini hii, isipokuwa ni huzuni ya moyo? Ndipo nikaogopa sana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Mfalme Artashasta akaniuliza, “Je, mbona unaonekana kuwa mwenye huzuni, ingawa huonekani kuwa mgonjwa? Naona una huzuni sana moyoni mwako!” Ndipo nilipoogopa sana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Mfalme Artashasta akaniuliza, “Je, mbona unaonekana kuwa mwenye huzuni, ingawa huonekani kuwa mgonjwa? Naona una huzuni sana moyoni mwako!” Ndipo nilipoogopa sana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Mfalme Artashasta akaniuliza, “Je, mbona unaonekana kuwa mwenye huzuni, ingawa huonekani kuwa mgonjwa? Naona una huzuni sana moyoni mwako!” Ndipo nilipoogopa sana.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Basi mfalme akaniuliza, “Kwa nini uso wako unaonekana una huzuni wakati wewe si mgonjwa? Jambo hili si kitu kingine bali ni huzuni ya moyo.” Niliogopa sana,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Basi mfalme akaniuliza, “Kwa nini uso wako unaonekana una huzuni wakati wewe si mgonjwa? Jambo hili si kitu kingine bali ni huzuni ya moyo.” Niliogopa sana,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Basi mfalme akaniambia, Mbona umesikitika uso wako, nawe huna ugonjwa? Nini hii, isipokuwa ni huzuni ya moyo? Ndipo nikaogopa sana.

Tazama sura Nakili




Nehemia 2:2
3 Marejeleo ya Msalaba  

Akawauliza hao maofisa wa Farao, waliokuwa pamoja naye katika kifungo, nyumbani mwa bwana wake, akisema, Mbona nyuso zenu zimekunjamana leo?


Kilichotarajiwa kikikawia kuja, moyo huugua. Bali haja ya mtu ikipatikana, ni mti wa uzima.


Moyo wa furaha huchangamsha uso; Bali kwa huzuni ya moyo roho hupondeka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo