Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Nehemia 12:28 - Swahili Revised Union Version

28 Waimbaji wakakusanyika kutoka uwanda na viunga vya Yerusalemu, na kutoka vijiji vya Wanetofathi;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Wazawa wa waimbaji wakakusanyika kutoka viunga vya Yerusalemu na vijiji vya Wanetofathi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Wazawa wa waimbaji wakakusanyika kutoka viunga vya Yerusalemu na vijiji vya Wanetofathi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Wazawa wa waimbaji wakakusanyika kutoka viunga vya Yerusalemu na vijiji vya Wanetofathi,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Pia waimbaji walikusanywa pamoja kutoka maeneo yaliyozunguka Yerusalemu, kutoka vijiji vya Wanetofathi,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Pia waimbaji walikusanywa pamoja kutoka maeneo yaliyozunguka Yerusalemu, kutoka vijiji vya Wanetofathi,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

28 Waimbaji wakakusanyika kutoka uwanda na viunga vya Yerusalemu, na kutoka vijiji vya Wanetofathi;

Tazama sura Nakili




Nehemia 12:28
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Salma; Bethlehemu, na Wanetofathi, Atroth-beth-Yoabu, na nusu ya Wamenuhothi, na Wazori.


na Obadia, mwana wa Shemaya, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni; na Berekia, mwana wa Asa, mwana wa Elkana; waliokaa katika vijiji vya Wanetofathi.


tena kutoka Beth-gilgali, na toka mashamba ya Geba na Azmawethi; kwa maana waimbaji hao walikuwa wamejijengea vijiji katika viunga vya Yerusalemu.


Tena nikagundua kwamba Walawi hawakupewa sehemu zao; Hivyo Walawi na waimbaji walioongoza ibada, kila mtu amerudi shambani mwake.


Na baada yake wakafanyiza makuhani, watu wa Uwandani.


Sanbalati na Geshemu wakatuma wajumbe kwangu, wakasema, Njoo, tukutane huko vijijini katika nchi tambarare ya Ono. Lakini wakakusudia kunifanyia mabaya.


Watu wa Bethlehemu na Netofa, mia moja na themanini na wanane.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo