Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Nehemia 12:22 - Swahili Revised Union Version

22 Walawi siku za Eliashibu, na Yoyada, na Yohana, na Yadua, wameorodheshwa wakuu wa mbari za mababa; tena na makuhani; hata siku za kumiliki kwake Dario, Mwajemi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Wakati wa Eliashibu, Yoyada, Yohanani na Yadua wakuu wa jamaa za Walawi, waliorodheshwa; vilevile wakati wa utawala wa mfalme Dario wakuu wa jamaa za makuhani waliorodheshwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Wakati wa Eliashibu, Yoyada, Yohanani na Yadua wakuu wa jamaa za Walawi, waliorodheshwa; vilevile wakati wa utawala wa mfalme Dario wakuu wa jamaa za makuhani waliorodheshwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Wakati wa Eliashibu, Yoyada, Yohanani na Yadua wakuu wa jamaa za Walawi, waliorodheshwa; vilevile wakati wa utawala wa mfalme Dario wakuu wa jamaa za makuhani waliorodheshwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Wakuu wa jamaa za Walawi katika siku za Eliashibu, Yoyada, Yohanani na Yadua, pia wale jamaa za makuhani, waliandikishwa wakati wa utawala wa Dario Mwajemi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Wakuu wa jamaa za Walawi katika siku za Eliashibu, Yoyada, Yohanani na Yadua, pia wale jamaa za makuhani, waliandikishwa wakati wa utawala wa Dario, Mwajemi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

22 Walawi siku za Eliashibu, na Yoyada, na Yohana, na Yadua, wameorodheshwa wakuu wa mbari za mababa; tena na makuhani; hata siku za kumiliki kwake Dario, Mwajemi.

Tazama sura Nakili




Nehemia 12:22
3 Marejeleo ya Msalaba  

wa Hilkia, Hashabia; wa Yedaya, Nethaneli.


Wana wa Lawi, wakuu wa mbari za mababa, wameandikwa katika kitabu cha kumbukumbu hadi siku za Yohana mwana wa Eliashibu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo