Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Nehemia 11:32 - Swahili Revised Union Version

32 Anathothi, Nobu, Anania;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Wengine walikaa Anathothi, Nobu, Anania,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Wengine walikaa Anathothi, Nobu, Anania,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Wengine walikaa Anathothi, Nobu, Anania,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 katika Anathothi, Nobu na Anania,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 katika Anathothi, Nobu na Anania,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

32 Anathothi, Nobu, Anania;

Tazama sura Nakili




Nehemia 11:32
10 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Benyamini nao walikuwa wakikaa Geba, na Mikmashi, na Aiya, na Betheli na vijiji vyake;


Hazori, Rama, Gitaimu;


Watu wa Anathothi, mia moja ishirini na wanane.


Piga kelele sana, Ee binti Galimu; sikiliza, Ee Laisha; ole wako, maskini Anathothi!


siku hii ya leo atasimama huko Nobu; anatikisa mkono wake juu ya mlima wa binti Sayuni, mlima wa Yerusalemu.


Maneno ya Yeremia, mwana wa Hilkia, mmoja wa makuhani waliokuwa katika Anathothi, katika nchi ya Benyamini;


na Anathothi pamoja na mbuga zake za malisho, na Almoni pamoja na mbuga zake za malisho; miji minne.


Basi Daudi akaenda Nobu kwa Ahimeleki, kuhani. Ahimeleki akaenda kumlaki Daudi, akitetemeka, akamwambia, Kwa nini uko peke yako, wala hapana mtu pamoja nawe?


Daudi akamwambia Ahimeleki, kuhani, Mfalme ameniagiza shughuli, akaniambia, Asijue mtu awaye yote habari ya shughuli hii ninayokutuma, wala ya neno hili ninalokuamuru; nami nimewaagiza vijana waende mahali fulani.


Kisha akaupiga Nobu, mji wa makuhani, kwa makali ya upanga, wanaume na wanawake, watoto na wanyonyao, na ng'ombe, na punda, na kondoo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo