Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Nehemia 11:23 - Swahili Revised Union Version

23 Kwa kuwa palikuwa na amri ya mfalme juu yao, na agizo la hakika walilowekewa waimbaji, kama ilivyohusika na kila siku.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Mfalme alikuwa ametoa amri kuhusu zamu zao na mahitaji yao ya kila siku.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Mfalme alikuwa ametoa amri kuhusu zamu zao na mahitaji yao ya kila siku.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Mfalme alikuwa ametoa amri kuhusu zamu zao na mahitaji yao ya kila siku.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Waimbaji walikuwa chini ya amri za mfalme, ambazo pia ziliratibu shughuli zao za kila siku.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Waimbaji walikuwa chini ya amri za mfalme, ambazo pia ziliratibu shughuli zao za kila siku.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 Kwa kuwa palikuwa na amri ya mfalme juu yao, na agizo la hakika walilowekewa waimbaji, kama ilivyohusika na kila siku.

Tazama sura Nakili




Nehemia 11:23
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na kwa posho yake, alipewa posho ya daima na mfalme, siku kwa siku sehemu, siku zote za maisha yake.


Tena hawa ndio waimbaji, wakuu wa koo za baba zao katika Walawi, ambao walikaa vyumbani, kisha walikuwa hawana kazi nyingine; kwa kuwa walifanya kazi yao mchana na usiku.


Na Israeli wote, siku za Zerubabeli, na siku za Nehemia, walitoa sehemu za waimbaji na mabawabu, kama ilivyohusika kila siku; nao wakawatakasia Walawi; na Walawi wakawatakasia wana wa Haruni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo