Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 8:18 - Swahili Revised Union Version

18 Basi Nuhu akatoka, yeye, na wanawe, na mkewe, na wake za wanawe pamoja naye;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Basi, Noa akatoka katika safina pamoja na wanawe na mkewe pamoja na wake za wanawe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Basi, Noa akatoka katika safina pamoja na wanawe na mkewe pamoja na wake za wanawe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Basi, Noa akatoka katika safina pamoja na wanawe na mkewe pamoja na wake za wanawe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Kwa hiyo Nuhu akatoka nje pamoja na mkewe, na wanawe na wake zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Kwa hiyo Nuhu akatoka nje pamoja na mkewe, wanawe na wake zao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Basi Nuhu akatoka, yeye, na wanawe, na mkewe, na wake za wanawe pamoja naye;

Tazama sura Nakili




Mwanzo 8:18
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kila kilichokuwa hai juu ya uso wa nchi kikafutiliwa mbali; mwanadamu, wanyama wa kufugwa, kitambaacho na ndege wa angani; vilifutiliwa mbali katika nchi, akabaki Nuhu tu, na hao waliokuwa pamoja naye katika safina.


Utoe pamoja nawe kila kilicho hai kilichomo pamoja nawe, chenye mwili, ndege, na mnyama, na kila kitambaacho, chenye kutambaa juu ya nchi; wajae katika nchi, wawe na uzazi, wakaongezeke katika nchi.


kila mnyama, na kila kitambaacho, na kila ndege, kila kinachokwenda juu ya nchi kwa makabila yao, wakatoka katika safina.


BWANA atakulinda utokapo na uingiapo, Tangu sasa na hata milele.


watu wasiotii hapo zamani, wakati Mungu alipowavumilia kwa subira, siku za Nuhu, safina ilipokuwa ikitengenezwa; ambamo ndani yake wachache, yaani, watu wanane, waliokoka kwa maji.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo