Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 50:6 - Swahili Revised Union Version

6 Farao akasema, Nenda, ukamzike baba yako, kama alivyokuapisha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Farao akajibu, “Nenda ukamzike baba yako kama alivyokuapisha.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Farao akajibu, “Nenda ukamzike baba yako kama alivyokuapisha.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Farao akajibu, “Nenda ukamzike baba yako kama alivyokuapisha.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Farao akasema, “Panda, uende kumzika baba yako, kama alivyokuapiza kufanya.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Farao akasema, “Panda, uende kumzika baba yako, kama alivyokuapiza kufanya.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Farao akasema, Nenda, ukamzike baba yako, kama alivyokuapisha.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 50:6
3 Marejeleo ya Msalaba  

Israeli akamwambia Yusufu, Angalia, mimi ninakufa, lakini Mungu atakuwa pamoja nanyi, naye atawarudisha mpaka nchi ya baba zenu.


Mimi ni katika kufa, unizike katika kaburi langu nililojichimbia katika nchi ya Kanaani. Basi tafadhali uniruhusu niende sasa nikamzike babangu, nami nitarudi.


Basi Yusufu akaenda kumzika baba yake, na watumishi wote wa Farao wakaenda pamoja naye, wazee wa nyumbani mwake, na wazee wote wa nchi ya Misri.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo