Mwanzo 48:15 - Swahili Revised Union Version15 Akambariki Yusufu, akasema, Mungu ambaye baba zangu, Abrahamu na Isaka, walienenda mbele zake, yeye Mungu aliyenilisha, maisha yangu yote, hata siku hii ya leo, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Kisha Israeli akambariki Yosefu, akisema, “Mungu ambaye babu zangu Abrahamu na Isaka walimtii maishani mwao, Mungu ambaye ameniongoza maishani mwangu hadi leo, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Kisha Israeli akambariki Yosefu, akisema, “Mungu ambaye babu zangu Abrahamu na Isaka walimtii maishani mwao, Mungu ambaye ameniongoza maishani mwangu hadi leo, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Kisha Israeli akambariki Yosefu, akisema, “Mungu ambaye babu zangu Abrahamu na Isaka walimtii maishani mwao, Mungu ambaye ameniongoza maishani mwangu hadi leo, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Ndipo akambariki Yusufu akisema, “Mungu ambaye baba zangu Ibrahimu na Isaka walimtii, Mungu ambaye amekuwa mchungaji wa maisha yangu yote hadi leo, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Ndipo akambariki Yusufu akisema, “Mungu ambaye baba zangu Ibrahimu na Isaka walimtii, Mungu ambaye amekuwa mchungaji wa maisha yangu yote mpaka leo hii, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI15 Akambariki Yusufu, akasema, Mungu ambaye baba zangu, Abrahamu na Isaka, walienenda mbele zake, yeye Mungu aliyenilisha, maisha yangu yote, hata siku hii ya leo, Tazama sura |