Mwanzo 48:12 - Swahili Revised Union Version12 Yusufu akawatoa katika magoti yake, naye akainama kifudifudi Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Hapo Yosefu akawaondoa wanawe kwenye magoti ya baba yake, kisha akainama kwa heshima. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Hapo Yosefu akawaondoa wanawe kwenye magoti ya baba yake, kisha akainama kwa heshima. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Hapo Yosefu akawaondoa wanawe kwenye magoti ya baba yake, kisha akainama kwa heshima. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Ndipo Yusufu akawaondoa wanawe magotini mwa Israeli, naye akasujudu, uso wake ukagusa chini. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Ndipo Yusufu akawaondoa wanawe magotini mwa Israeli naye akasujudu hadi nchi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Yusufu akawatoa katika magoti yake, naye akainama kifudifudi Tazama sura |