Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 47:8 - Swahili Revised Union Version

8 Farao akamwuliza Yakobo, Je! Siku za kuishi kwako ni ngapi?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Farao akamwuliza Yakobo, “Umri wako ni miaka mingapi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Farao akamwuliza Yakobo, “Umri wako ni miaka mingapi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Farao akamwuliza Yakobo, “Umri wako ni miaka mingapi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Farao akamuuliza, “Je, una umri gani?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Farao akamuuliza, “Je una umri gani?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Farao akamwuliza Yakobo, Je! Siku za kuishi kwako ni ngapi?

Tazama sura Nakili




Mwanzo 47:8
5 Marejeleo ya Msalaba  

Abrahamu akafariki, naye akafa katika uzee mwema, mzee sana, ameshiba siku, akakusanyika kwa watu wake.


Yakobo akaishi katika nchi ya Misri miaka kumi na saba, basi umri wake Yakobo ulikuwa miaka mia moja na arubaini na saba.


Yusufu akamleta Yakobo babaye ndani akamweka mbele ya Farao, Yakobo akambariki Farao.


Yakobo akamjibu Farao, Siku za kuishi kwangu ni miaka mia moja na thelathini; siku za maisha yangu zimekuwa chache, tena za taabu, wala hazikufikia siku za maisha ya baba zangu katika siku za kuishi kwao.


Lakini Barzilai akamjibu mfalme, Nina miaka mingapi ya kuishi, hata mimi nipande pamoja na mfalme kwenda Yerusalemu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo