Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 47:28 - Swahili Revised Union Version

28 Yakobo akaishi katika nchi ya Misri miaka kumi na saba, basi umri wake Yakobo ulikuwa miaka mia moja na arubaini na saba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Yakobo alikaa katika nchi ya Misri kwa muda wa miaka kumi na saba, hadi alipofikia umri wa miaka 147.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Yakobo alikaa katika nchi ya Misri kwa muda wa miaka kumi na saba, hadi alipofikia umri wa miaka 147.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Yakobo alikaa katika nchi ya Misri kwa muda wa miaka kumi na saba, hadi alipofikia umri wa miaka 147.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Yakobo akaishi Misri miaka kumi na saba, nayo miaka ya maisha yake ilikuwa mia moja na arobaini na saba (147).

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Yakobo akaishi Misri miaka kumi na saba, nayo miaka ya maisha yake ilikuwa 147.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 47:28
7 Marejeleo ya Msalaba  

Abrahamu aliishi miaka mia moja na sabini na mitano.


Hivi ndivyo vizazi vya Yakobo. Yusufu, aliyekuwa mwenye miaka kumi na saba, alikuwa akichunga kondoo pamoja na ndugu zake; naye alikuwa kijana pamoja na wana wa Bilha, na wana wa Zilpa, wake wa baba yake. Yusufu akamletea baba yao habari zao mbaya.


Wazawa wa Pashuri, elfu moja mia mbili arubaini na saba.


Siku za mtumishi wako ni ngapi, Lini utakapowahukumu wale wanaonifuatia?


Miaka ya maisha yetu ni sabini, Na ikiwa tuna nguvu miaka themanini; Tena kiburi chake ni taabu na ubatili, Maana wakati unapita upesi nasi kutokomea punde.


Basi, utufundishe kuzihesabu siku zetu, Tujipatie moyo wa hekima.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo