Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 44:7 - Swahili Revised Union Version

7 Wakamwambia, Kwa nini bwana wangu anasema maneno kama haya? Hasha! Watumwa wako wasifanye hivi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Lakini wao wakamwuliza, “Bwana, una maana gani kutuambia maneno kama hayo? Sisi watumishi wako kamwe hatuwezi kufanya jambo kama hilo!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Lakini wao wakamwuliza, “Bwana, una maana gani kutuambia maneno kama hayo? Sisi watumishi wako kamwe hatuwezi kufanya jambo kama hilo!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Lakini wao wakamwuliza, “Bwana, una maana gani kutuambia maneno kama hayo? Sisi watumishi wako kamwe hatuwezi kufanya jambo kama hilo!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Lakini wakamwambia mtumishi, “Kwa nini bwana wangu anasema maneno kama haya? Liwe mbali na watumishi wako kufanya jambo kama hilo!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Lakini wakamwambia mtumishi, “Kwa nini bwana wangu anasema maneno kama haya? Liwe mbali na watumishi wako wasije wakafanya jambo kama hilo!

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Wakamwambia, Kwa nini bwana wangu anasema maneno kama haya? Hasha! Watumwa wako wasifanye hivi.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 44:7
12 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa Israeli alipokuwa akikaa katika nchi ile, Reubeni akaenda akalala na Bilha, suria wa babaye; Israeli akasikia habari. Basi hao wana wa Yakobo walikuwa kumi na wawili.


Akawafuata, akawapata, na kuwaambia maneno hayo.


Tazama, hizo fedha mlizoziona kinywani mwa magunia yetu tumekuletea tena kutoka nchi ya Kanaani. Tuwezeje sisi kuiba nyumbani mwa Bwana wako fedha au dhahabu?


Yoabu akajibu, akasema, Isiwe, isiwe kwangu, niumeze wala kuuharibu.


Hazaeli akasema, Lakini mimi mtumwa wako ni nani, mimi niliye mbwa tu, hata nifanye jambo hili kubwa? Elisha akajibu, BWANA amenionesha ya kwamba wewe utakuwa mfalme juu ya Shamu.


Heri kuchagua jina jema kuliko mali nyingi; Na neema kuliko fedha na dhahabu.


Heri sifa njema kuliko manukato ya thamani; Na siku ya kufa kuliko siku ya kuzaliwa.


Tuombeeni; maana tunaamini kwamba tuna dhamiri njema, tukitaka kuwa na mwenendo mwema katika mambo yote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo