Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 40:4 - Swahili Revised Union Version

4 Mkuu wa askari akamwekea Yusufu watu hao, naye akawahudumia, nao wakakaa siku kadhaa katika kifungo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Mkuu wa kikosi cha ulinzi akamteua Yosefu awatumikie. Nao wakawa kifungoni kwa muda fulani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Mkuu wa kikosi cha ulinzi akamteua Yosefu awatumikie. Nao wakawa kifungoni kwa muda fulani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Mkuu wa kikosi cha ulinzi akamteua Yosefu awatumikie. Nao wakawa kifungoni kwa muda fulani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Mkuu wa walinzi akawakabidhi kwa Yusufu, naye akawahudumia. Walipokuwa wamekaa chini ya ulinzi kwa muda,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Mkuu wa kikosi cha ulinzi akawakabidhi kwa Yusufu, naye akawahudumia. Walipokuwa wamekaa chini ya ulinzi kwa muda,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Mkuu wa askari akamwekea Yusufu watu hao, naye akawahudumia, nao wakakaa siku kadhaa katika kifungo.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 40:4
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nao Wamidiani wakamuuza huko Misri, kwa Potifa, mmoja wa maofisa wa Farao, mkuu wa askari walinzi.


Basi Yusufu akaletwa mpaka Misri, naye Potifa, ofisa wa Farao, mkuu wa askari walinzi, mtu wa Misri, akamnunua mkononi mwa hao Waishmaeli waliomleta huko.


Akawatia katika ulinzi nyumbani mwa mkuu wa askari, humo gerezani, mahali alipofungwa Yusufu.


Wakaota ndoto wote wawili, kila mtu ndoto yake usiku mmoja, kila mtu kwa tafsiri ya ndoto yake, mnyweshaji na mwokaji wa mfalme wa Misri waliofungwa gerezani.


Akawatia wote gerezani siku tatu.


Umkabidhi BWANA njia yako, Pia umtumainie, naye atakutendea.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo