Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 40:2 - Swahili Revised Union Version

2 Farao akawaghadhibikia maofisa wake wawili, mkuu wa wanyweshaji na mkuu wa waokaji.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Farao aliwakasirikia hao maofisa wake wawili,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Farao aliwakasirikia hao maofisa wake wawili,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Farao aliwakasirikia hao maofisa wake wawili,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Farao akawakasirikia hawa maafisa wake wawili, mnyweshaji mkuu na mwokaji mkuu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Farao akawakasirikia hawa maafisa wake wawili, mnyweshaji mkuu na mwokaji mkuu,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Farao akawaghadhibikia maofisa wake wawili, mkuu wa wanyweshaji na mkuu wa waokaji.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 40:2
11 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, baada ya mambo hayo, mnyweshaji wa mfalme wa Misri, na mwokaji wake, wakamkosea bwana wao, mfalme wa Misri.


Akamrudisha mkuu wa wanyweshaji katika kazi yake ya kunywesha, naye akampa Farao kikombe mkononi mwake.


Lakini huyo mkuu wa wanyweshaji hakumkumbuka Yusufu, alimsahau.


Farao aliwakasirikia watumishi wake, akanitia nifungwe nyumbani mwa mkuu wa askari walinzi, mimi na mkuu wa waokaji.


na juu ya mashamba ya mizabibu alikuwa Shimei, Mramathi; na juu ya mazao ya mizabibu kwa ghala za mvinyo alikuwa Zabdi, Mshifmi;


Maana hasira ya binadamu itakusifu, Masalio ya hasira utajifunga kama mshipi.


Hasira ya mfalme ni kama wajumbe wa mauti; Lakini mtu mwenye hekima ataituliza.


Ghadhabu ya mfalme ni kama ngurumo ya simba; Bali hisani yake kama umande juu ya majani.


Mtu wa hasira nyingi atachukua adhabu yake, Maana ujapomwokoa huna budi kufanya tena.


Ghadhabu ni kali, na hasira ni gharika; Lakini ni nani awezaye kusimama mbele ya wivu.


Naye Herode alikuwa amewakasirikia sana watu wa Tiro na Sidoni; wakamwendea kwa nia moja, na wakiisha kufanya urafiki na Blasto, mwenye kukitunza chumba cha mfalme cha kulala, wakataka amani; kwa maana nchi yao ilipata riziki kwa nchi ya mfalme.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo