Mwanzo 4:16 - Swahili Revised Union Version16 Kaini akatoka mbele za uso wa BWANA, akakaa katika nchi ya Nodi, Mashariki mwa Edeni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Kisha Kaini akaondoka mbele ya Mwenyezi-Mungu, akawa anaishi katika nchi ya Nodi, upande wa mashariki wa Edeni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Kisha Kaini akaondoka mbele ya Mwenyezi-Mungu, akawa anaishi katika nchi ya Nodi, upande wa mashariki wa Edeni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Kisha Kaini akaondoka mbele ya Mwenyezi-Mungu, akawa anaishi katika nchi ya Nodi, upande wa mashariki wa Edeni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Kwa hiyo Kaini akaondoka mbele za Mwenyezi Mungu, akaenda kuishi katika nchi ya Nodi, mashariki mwa Edeni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Kwa hiyo Kaini akaondoka mbele za bwana akaenda kuishi katika nchi ya Nodi, iliyoko mashariki ya Edeni. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI16 Kaini akatoka mbele za uso wa BWANA, akakaa katika nchi ya Nodi, Mashariki mwa Edeni. Tazama sura |