Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 38:8 - Swahili Revised Union Version

8 Yuda akamwambia Onani, Uingie kwa mke wa nduguyo, ukamwoe, ukamwinulie nduguyo uzao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Basi, Yuda akamwambia Onani, “Mchukue mke wa ndugu yako marehemu, kwani ndivyo inavyokupasa kufanya, upate kumzalia nduguyo watoto.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Basi, Yuda akamwambia Onani, “Mchukue mke wa ndugu yako marehemu, kwani ndivyo inavyokupasa kufanya, upate kumzalia nduguyo watoto.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Basi, Yuda akamwambia Onani, “Mchukue mke wa ndugu yako marehemu, kwani ndivyo inavyokupasa kufanya, upate kumzalia nduguyo watoto.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Kisha Yuda akamwambia Onani, “Kutana kimwili na mke wa ndugu yako, na utimize wajibu wako kwake kama mke wa ndugu yako, ili umpatie ndugu yako uzao.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Kisha Yuda akamwambia Onani, “Kutana kimwili na mke wa ndugu yako, na utimize wajibu wako kwake kama mke wa ndugu yako, ili umpatie ndugu yako uzao.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Yuda akamwambia Onani, Uingie kwa mke wa nduguyo, ukamwoe, ukamwinulie nduguyo uzao.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 38:8
7 Marejeleo ya Msalaba  

Yule mkubwa akamwambia mdogo, Baba yetu ni mzee, wala hakuna mwanamume katika nchi atuingilie kama ilivyo desturi ya dunia yote.


Usifunue utupu wa mke wa nduguyo; maana, ni utupu wa nduguyo.


Naye Naomi akasema, Enyi wanangu, rudini; kwa nini mfuatane nami? Je! Mimi ninao watoto wa kiume tena tumboni mwangu, hata wawe waume zenu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo