Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 38:30 - Swahili Revised Union Version

30 Akatoka ndugu yake baadaye, ana uzi mwekundu mkononi mwake; naye akaitwa jina lake Zera.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Baadaye ndugu yake akazaliwa akiwa na ule uzi mwekundu mkononi, naye akaitwa Zera.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Baadaye ndugu yake akazaliwa akiwa na ule uzi mwekundu mkononi, naye akaitwa Zera.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Baadaye ndugu yake akazaliwa akiwa na ule uzi mwekundu mkononi, naye akaitwa Zera.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Kisha ndugu yake, aliyekuwa na uzi mwekundu mkononi, akatoka, naye akaitwa Zera.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Kisha ndugu yake, aliyekuwa na uzi mwekundu mkononi, akatoka, naye akaitwa Zera.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

30 Akatoka ndugu yake baadaye, ana uzi mwekundu mkononi mwake; naye akaitwa jina lake Zera.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 38:30
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Yuda; Eri, na Onani, na Shela, na Peresi, na Zera; lakini Eri na Onani walikufa katika nchi ya Kanaani. Na wana wa Peresi, ni Hesroni, na Hamuli.


Na Tamari, mkwewe, akamzalia Peresi, na Zera. Wana wote wa Yuda ni watano.


Na wa wana wa Zera; Yeueli, na ndugu zao; watu mia sita na tisini.


Na Pethahia, mwana wa Meshezabeli, wa wana wa Zera, mwana wa Yuda, alikuwa wakili wa mfalme kwa habari ya mambo yote ya watu.


Yuda akamzaa Peresi na Zera kwa Tamari; Peresi akamzaa Esromu; Esromu akamzaa Aramu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo