Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 38:15 - Swahili Revised Union Version

15 Yuda alipomwona alimdhania kuwa ni kahaba, maana amejifunika uso.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Basi, Yuda alipomkuta Tamari hapo, alimdhania kuwa mwanamke malaya, kwani alikuwa amejifunika uso.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Basi, Yuda alipomkuta Tamari hapo, alimdhania kuwa mwanamke malaya, kwani alikuwa amejifunika uso.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Basi, Yuda alipomkuta Tamari hapo, alimdhania kuwa mwanamke malaya, kwani alikuwa amejifunika uso.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Yuda alipomwona alifikiri ni kahaba, kwa sababu alikuwa amefunika uso wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Yuda alipomwona alifikiri ni kahaba, kwa sababu alikuwa amefunika uso wake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Yuda alipomwona alimdhania kuwa ni kahaba, maana amejifunika uso.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 38:15
4 Marejeleo ya Msalaba  

Basi akavua nguo za ujane wake, akajivika utaji, akajifunika uso, akakaa mlangoni pa Enaimu, karibu na njia ya kuendea Timna. Maana aliona ya kwamba Shela amekuwa mtu mzima, ijapokuwa hakuozwa awe mkewe.


Akamgeukia kando ya njia, akasema, Niruhusu niingie kwako. Maana hakujua ya kuwa ni mkwewe. Akamwuliza, Utanipa nini, ukiingia kwangu?


Na tazama, mwanamke akamkuta, Ana mavazi ya kikahaba, mwerevu wa moyo;


Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema, Wale wawili watakuwa mwili mmoja.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo