Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 36:34 - Swahili Revised Union Version

34 Akafa Yobabu, akamiliki Hushamu, wa nchi ya Watemani, badala yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Yobabu alipofariki, Hushamu wa nchi ya Watemani, alitawala badala yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Yobabu alipofariki, Hushamu wa nchi ya Watemani, alitawala badala yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Yobabu alipofariki, Hushamu wa nchi ya Watemani, alitawala badala yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

34 Akafa Yobabu, akamiliki Hushamu, wa nchi ya Watemani, badala yake.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 36:34
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Elifazi, ni Temani na Omari, na Sefo, na Gatamu, na Kenazi.


Hawa ndio majumbe wao wana wa Esau; wana wa Elifazi, mzaliwa wa kwanza wa Esau; jumbe Temani, jumbe Omari, jumbe Sefo, jumbe Kenazi,


Akafa Bela, akamiliki Yobabu mwana wa Zera, wa Bosra, badala yake.


Akafa Hushamu, akamiliki Hadadi wa Bedadi badala yake, naye ndiye aliyepiga Midiani katika nyika ya Moabu, na jina la mji wake ni Avithi.


Yobabu akafa, naye Hushamu, wa nchi ya Watemani, akatawala badala yake.


Basi ikawa hao marafiki watatu wa Ayubu walipopata habari ya mabaya hayo yote yaliyomfikia, wakaja kila mtu kutoka mahali pake; nao ni Elifazi Mtemani, na Bildadi Mshuhi, na Sofari Mnaamathi; wakapatana pamoja ili waende kumfariji Ayubu na kumtuliza moyo.


Kuhusu Edomu. BWANA wa majeshi asema hivi, Je! Hakuna tena hekima katika Temani? Mashauri yamewapotea wenye busara? Je! Imetoweka hekima yao?


kwa sababu hiyo, Bwana MUNGU asema hivi; Nitanyosha mkono wangu juu ya Edomu, nitakatilia mbali nayo wanadamu na wanyama; nami nitaifanya kuwa ukiwa toka Temani; na mpaka Dedani wataanguka kwa upanga.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo