Mwanzo 36:13 - Swahili Revised Union Version13 Na hawa ni wana wa Reueli: Nahathi, na Zera, na Shama na Miza. Hao walikuwa wana wa Basemathi, mkewe Esau. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Basemathi, mkewe Esau, alimzaa Reueli. Watoto wa kiume wa Reueli walikuwa Nahathi, Zera, Shama na Miza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Basemathi, mkewe Esau, alimzaa Reueli. Watoto wa kiume wa Reueli walikuwa Nahathi, Zera, Shama na Miza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Basemathi, mkewe Esau, alimzaa Reueli. Watoto wa kiume wa Reueli walikuwa Nahathi, Zera, Shama na Miza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Wana wa Reueli ni: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hao walikuwa wajukuu wa Basemathi mkewe Esau. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Wana wa Reueli ni: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Basemathi mkewe Esau. Tazama sura |